MTAMAUKO

200.00 KSh500.00 KSh

Ukweli kwamba tabia za mtu huwa sawa na rangi ya kinyonga ambayo hubadilika kulingana na mazingira aliyomo, kipindi hicho haukuwa umenipambaukia bayana. Aidha, kupatwa na mtamauko kutokana na kubadilika kwa Fatuma hakukuwahi nipitikia akilini. Siku zote nikishikilia kuwa Fatuma alikuwa ndiye yule yule wa juzi, jana na leo kitabia. Binti adibu kabisa… Je, ilikuwaje baadaye?

 

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “MTAMAUKO”

Your email address will not be published. Required fields are marked *