Anyolewaye kwa chupa hawezi kusahau. Hakuna tuzo ipatikanayo kwa maovu. Antholojia hii imesawiri maudhui yatakayokupa motisha ya aushi. Imeyazamia masuala haya na kuchora taswira halisi ya jamii ilivyokuwa, ilivyo na inavyopaswa kuwa katika siku za halafu. Kitovu cha Hadithi ni kundi lililozalisha waandishi wenye tajiriba katika tasnia ya fasihi. Baadhi yao ni washauri na watahini katika mitihani ya kitaifa.
Oops, Restricted Content
We are sorry but this Book is restricted to folks that have purchased the Book.