Baada ya kuzindua Uhakiki wa Fasihi na Isimujamii, kulikuwa na haja ya kuzindua Uhakiki wa Sarufi na Insha. Sarufi ni mojawapo wa mada muhimu katika karatasi ya pili ambayo inazidi kuwatatiza wanafunzi wengi. Vitabu vingi vya sarufi vimeandikwa lakini kuna haja ya kuingiza masuala ibuka katika sarufi. Kitabu hiki kimeweza kuangazia masuala ibuka katika utahini wa sarufi. Vipengele kama vile kiima, kiarifu, chagizo, kijalizo, uchanganuzi wa sentensi kwa njia ya mistari na mstari, kirai, kishazi ni vipengele vingine vimeangaziwa kwa kina katika kitabu hiki.
Accounting for Secondary Sch
Price range: KShs500 through KShs1,000Add to Basket
This product has multiple variants. The options may be chosen on the product page



