Malenga wa Kenya 1

Malenga wa Kenya 1

Assigned Users:

Price range: KShs100 through KShs400

Malenga wa Kenya 1

Audiobook eBook Hardcopy
  • Audiobook
    Audiobook
  • eBook
    EBook
  • Hardcopy
    Hardcopy
Clear
N/A ,

Malenga wa Kenya ni diwani ya ushairi kwa hadhira lengwa ya shule za msingi. Tungo zimekumbatia mtaala mpya wa elimu. Mada  zimedondolewa silabasini. Isitoshe, msamiati sahili uliooneshwa silabasini umezingatiwa ili wanafunzi waanzie kwa wayajuayo kisha mengineyo baadaye. Kimsingi, azma ya washairi ni kuelimisha kwa ucheshi na burudani. Kusoma kwa aina hii hakuchoshi akili.

Matumaini yetu ni kuwa kwa kusomasoma, na kughanighani mashairi wanafunzi watajichotea ubunifu na maarifa kedekede.

Choose Book Type

, ,