Mwongozo wa Bembea ya Maisha
Mwongozo huu umekusudia kumrahisishia mwalimu mwelekezi, mtahiniwa pamoja na wapenzi wote wa tamthilia kutambua dhamira yake Timothy Arege. Maudhui yamedondolewa moja baada ya lingine kwa kina. Aidha, umeweka wazi sifa kuu za kila mhusika na jinsi anavyoendeleza maudhui katika tamthilia hii.
KShs200.00 – KShs450.00
Eliud Mukungu –
Wapenzi wa lugha na fasihi kwa ujumla, hii hapa kurunzi yetu. Kitabu safi 🙏. Shukrani zangu kwa mabingwa wanaotushika mkono.
Salma loice –
Mwongozo huu kweli unafaa sana.
Salma loice –
Mwongozo huu kweli unafaa sana. Kazi safi mkuu
Mahli abdinasir –
How should I download a certain book
Elong’o Publishers –
Hello Mahli, kindly WhatsApp us on 0742433826 for direction on the same.