Mwongozo wa Mapambazuko ya Machweo

BOOK category

Mwongozo wa Mapambazuko ya Machweo

Author(s): IGUNZA MWANATUNZI

About this book

Ni mwalimu wa Kiswahili katika shule ya upili ya Kayole South. Vilevile ni mpenzi na mtetezi wa lugha hii pendwa ya Kiswahili. Ameandika Riwaya, Hadithi fupi nyingi na Mashairi pia. Ndiye mshindi wa tuzo ya kimataifa ya Kalahari 2020 https://collection-kalahari.com/sw/wasifu-wa-washindi-wa-kiswahili/ .