Elong'o Publishers

Publish
Online Library
Rent A Book

Mwwongozo wa Nguu za Jadi

150.00 /=600.00 /=

  • Author: IGUNZA MWANATUNZI
  • Edition: 1st
  • Language: Swahili
  • Publisher: Elong'o Publisher
  Ask a Question

Description

IGUNZA MWANATUNZI

Ni mwalimu wa Kiswahili katika shule ya upili ya Kayole South. Vilevile ni mpenzi na mtetezi wa lugha hii pendwa ya Kiswahili. Ameandika Riwaya, Hadithi fupi nyingi na Mashairi pia. Ndiye mshindi wa tuzo la kimataifa la Kalahari 2020 https://collection-kalahari.com/sw/wasifu-wa-washindi-wa-kiswahili/

JULIDAH KEMUMA

Ni mwalimu mwenye tajriba kuu ya kufunza Kiswahili, kutahini na kusahihisha K.C.S.E. Amefunza katika shule ya upili ya Voi Boys na sasa anafunza katika shule ya upili ya Kayole South Nairobi.Ni mwandishi chipukizi katika ulingo huu wa fasihi ya Kiswahili.

 

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Mwwongozo wa Nguu za Jadi”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

No more offers for this product!

General Inquiries

There are no inquiries yet.