Elong'o Publishers

Publish
Online Library
Rent A Book

Najivunia kuwa Mkenya

150.00 /=600.00 /=

  • Author: Matheri D.N
  • Edition: 1st
  • Language: Kiswahili
  • Publisher: Elong'o Publisher
  Ask a Question

Description

Anthonolojia ya Najivunia kuwa Mkenya na hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi zenye msuko wa aina yake. Msuko ambao umezingatia pakubwa arudhi za lugha na fani mbali mbali ili kuumba taswira kamili ya matukio na muundo wa hadithi zenyewe. Kuwepo kwa picha, maswali na sherehe katika kitabu hichi kunachangia pakubwa kumpa msomaji; awe mwanafunzi, mwalimu ama mpenda Sanaa yeyote kupata kuelewa kwa kina kazi hii ya fasihi. Kwa mpenzi wa fasihi na lugha ya Kiswahili hichi ni kitabu chako bila shaka.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Najivunia kuwa Mkenya”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

No more offers for this product!

General Inquiries

There are no inquiries yet.