Elong'o Publishers

Publish
Online Library
Rent A Book

Uhakiki wa Sarufi na Insha

150.00 /=1,000.00 /=

  • Author: JOHN W. WANJALA
  • Edition: 1st
  • Language: Swahili
  • Publisher: Elong'o Publisher
  Ask a Question

Description

Baada ya kuzindua Uhakiki wa Fasihi na Isimujamii, kulikuwa na haja ya kuzindua Uhakiki wa Sarufi na Insha. Sarufi ni mojawapo wa mada muhimu katika karatasi ya pili ambayo inazidi kuwatatiza wanafunzi wengi. Vitabu vingi vya sarufi vimeandikwa lakini kuna haja ya kuingiza masuala ibuka katika sarufi. Kitabu hiki kimeweza kuangazia masuala ibuka katika utahini wa sarufi. Vipengele kama vile kiima, kiarifu, chagizo, kijalizo, uchanganuzi wa sentensi  kwa njia ya mistari na mstari, kirai, kishazi ni vipengele vingine vimeangaziwa kwa kina katika kitabu hiki.

 

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Uhakiki wa Sarufi na Insha”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

No more offers for this product!

General Inquiries

There are no inquiries yet.