Elong'o Publishers

Publish
Online Library
Rent A Book

MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO NA HADITHI NYINGINE

200.00 /=500.00 /=

  • Author: Sylevester A. Momanyi o Micah Kosgei o Jackline Nyanchama o Florence Obonyo
  • Edition: First
  • Language: English
  • Publisher: Elong'o Publishers
  Ask a Question

Description

Kitabu chochote cha fasihi husomwa na kuchambuliwa ili kuyapata malengo halisi ya mwandishi. Diwani Mapambazuko ya Machweo na Hadithi nyingine ni Diwani ya aina yake kwa sababu imeangazia masuala mbalimbali na yanavyoiathiri jamii. Mwongozo huu umeangazia vipengele vyote vya uchambuzi ikiwemo; Ufaafu wa anwani za hadithi husika, maudhui muhimu, sifa na umuhimu wa Wahusika Pamoja na vipengele vya kimtindo.

Mwongozo huu ni nguzo na msingi bora kwa mwanafunzi anayetamani kuboresha matokeo yake na  kufanya vyema kwenye mtihani wa kitaifa KCSE

 

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “MWONGOZO WA MAPAMBAZUKO YA MACHWEO NA HADITHI NYINGINE”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

No more offers for this product!

General Inquiries

There are no inquiries yet.