Elong'o Publishers

Publish
Online Library
Rent A Book

Malenga wa Kenya 2

150.00 /=400.00 /=

  • Author: Kaka Fred
  • Edition: 1st
  • Language: English
  • Publisher: Elong'o Publisher
  Ask a Question

Description

Malenga wa Kenya ni diwani ya ushairi kwa hadhira lengwa ya shule za msingi. Tungo zimekumbatia mtaala mpya wa elimu. Mada  zimedondolewa silabasini. Isitoshe, msamiati sahili uliooneshwa silabasini umezingatiwa ili wanafunzi waanzie kwa wayajuayo kisha mengineyo baadaye. Kimsingi, azma ya washairi ni kuelimisha kwa ucheshi na burudani. Kusoma kwa aina hii hakuchoshi akili.

Matumaini yetu ni kuwa kwa kusomasoma, na kughanighani mashairi wanafunzi watajichotea ubunifu na maarifa kedekede.

 

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Malenga wa Kenya 2”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

No more offers for this product!

General Inquiries

There are no inquiries yet.