Elong'o Publishers

Publish
Online Library
Rent A Book

Chozi la Damu

150.00 /=600.00 /=

  • Author: Washington Bin Juma
  • Edition: 1st
  • Language: Swahili
  • Publisher: Elong'o Publisher
  Ask a Question

CHOZI LA DAMU” ni riwaya inayosimulia kwa ustadi, kina na uketo wa kipekee maudhui ibuka yakiwemo: uele wa korona, ushauri – nasaha, uchochote, mafuriko, ujirani, uozo wa ndoa, mizuka, malezi na msongo wa mawazo. Nadhari na taswira halisi imechorwa na Bi. Katembo anayegura kutoka eneo la Kapweta na kuhamia kwingineko kutokana na adha za mvua ya kifuku pamoja na Bi. Mwaipaja aliyefiwa na jamaa wake sita mintarafu ya ukongo hatari wa KORONA.

Kwa minajili ya kumtega na kumpiga msomaji bakunja, Riwaya ya “CHOZI LA DAMU” imesukwasukwa na kufumwa kwa tamathali sampuli na nui za uandishi.

 

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Chozi la Damu”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

No more offers for this product!

General Inquiries

There are no inquiries yet.