Elong'o Publishers

Publish
Online Library
Rent A Book

Daraja la ufanisi

300.00 /=800.00 /=

  • Author: Jackson Njoroge Maina
  • Edition: First
  • Language: Kiswahili
  • Publisher: Elong'o Publishers
  Ask a Question

Description

DARAJA LA UFANISI ni kitabu aula kinachoweka wazi masuala
yote yanayohusiana na Mashairi na Sarufi. Vipengele mbalimbali
katika ushairi vinavyotahiniwa katika mitihani ya kitaifa vimejadiliwa
kwa fusuli.Mada mbalimbali za sarufi zimejadiliwa na maelezo yametolewa
kwa uwazi kuhusu mitindo mbalimbali inayotumika katika utahini
wa mada hizo. Aidha kina maswali tele ya mitihani ya kitaifa ya
miaka ya awali. Kitawafaa sana wanafunzi katika maandalizi ya
mitihani ya kitaifa.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Daraja la ufanisi”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

No more offers for this product!

General Inquiries

There are no inquiries yet.