Elong'o Publishers

Publish
Online Library
Rent A Book

Kisima Cha Mkata

150.00 /=600.00 /=

  • Author: Mwalimu Sammy Oluoch
  • Edition: 1st
  • Language: Swahili
  • Publisher: Elong'o Publisher
  Ask a Question

Description

Kisima cha mkata ni riwaya inayozungumzia matatizo ambayo huwakumba maskini. Je , maskini hukumbana na majanga yepi? Utapata visa vitakavyokuacha kwenye chumba cha sononeka. Mwandishi amechora picha halisi inayotokea katika maisha yetu. Maskini hupitia mambo mengi sana mathalani: unyanyasaji, dhuluma za haki, ukatili na hata mauko.

Malengo yamesawiriwa vilivyo ili kumpa msomi yeyote mbinu chanya ya kukabili maisha. Asilimia kubwa ya waja hukata tamaa pasi na kujua kuwa baada ya giza ni nuru. Nusra mwandishi akate tamaa lakini kwa msaada wa mwandani wake hakufanya hivyo.

 

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Kisima Cha Mkata”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

No more offers for this product!

General Inquiries

There are no inquiries yet.